BREKING NEWSSS...............................
TAARIFA ZA KIFO CHA MWANAMUZIKI WA ZAMANI KASONGO MPINDA CLYTON..
Jioni ya leo tumepokea taarifaza kifo cha mzee wetu huyu Kasongo Mpinda baada ya kuugua kwa muda mrefu, Kasongo atakumbukwa sana na vijana wengi wa zamani kwa namna alivyokuwa na uwezo mkubwa wa kuteka Nyoyo za mashabiki vilivyo. Kasongo mwenye asili ya Kongo aliibukia katika Hoteli ya New Afrika Dar es Salaam akiwa na MK Group, Wana NgulupaTupa Tupa na baadaye Maquiz du Zaire (Wanakamanyola) na baada ya hapo alijiunga na Wazee Sugu chini ya Mtaalamu King Kikii.
![]() |
| Marehemu Kasongo Mpinda Clyaton aliyeshikilia Mic enzi za uhai wake. |
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe................R.I.P Mzee wetu Kasongo.
@RINYO'S
Maoni yako ni muhimu sana kwangu ili kuweza kujua umuhimu wangu kwako na hisia zako juu ya taarifa uliyoipata......................................

No comments:
Post a Comment