Chama
cha Mapinduzi CCM leo kimemtangaza Christopher Ole Sendeka kuwa msemaji
mpya wa CCM kuanzia leo.Sendeka ametangazwa rasmi na Katibu Mkuu wa
chama hicho Ndugu Abdulrahman Kinana mbele ya Waandishi wa Habari jijini
Dar es Salaam.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtangaza Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Christopher Ole Sendeka kuwa Msemaji Rasmi wa CCM leo, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam
![]() | |
| Msemaji mpya wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Christopher Ole Sendeka akiongea baada ya kuteuliwa siku ya leo. kulia ni aliyekua katibu mkuu mwenezi Ndugu Nape Nauye. |
@RINYO'S

