UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA ARUSHA MJINI WAFANYIKA LEO:
Uchaguzi huu ambao ulihairishwa kutokana na kifo cha aliyekuwa mgombea wa chama cha ACT Wazalendo Bw. Estomihi Mala umekumbwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na mwitikio kuwa mdogo, pia mvua za hapa na pale. Sababu za mwitikio kuwa mdogo watu wengi wamelalamikia vitendo vya kubakwa kwa demokrasia kutokana na wao kuchagua kiongozi wanayempenda lakini badala ya kupewa waliomchagua wanapewa kiongozi wakuchaguliwa, pia wengine wanadai ni kutokana na sherehe zinazoendelea ikiwa ni pamoja na sherehe za Kipaimara.
Habari zaidi zitakujia...............................
@RINYO'S