TANZANIA RASMI OUT KATIKA MATUMAINI YA KUCHEZA KOMBE LA DUNIA MWAKA 2018 URUSI:
Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars usiku wa kuamkia leo ilikumbana na dhahama baada ya kukubali kipigo cha aibu kutoka kwa timu ya taifa ya Algeria kwa kufungwa jumla ya magoli 7-0 na hivyo jumla kutolewa kwa idadi ya magoli 9-2 baada ya mchezo wa awali kutoka sare ya magoli 2-2.
http://elirinyouronu.blogspot.com/2015/11/tanzania-rasmi-out-katika-matumaini-ya.html

No comments:
Post a Comment