Thursday, 19 November 2015

MAANDALIZI YA MAHAFALI YA 17 YA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA (IAA) YAZIDI KUPAMBA MOTO:


Maandalizi ya Mahafali ya 17 ya Chuo cha Uhasibu Arusha yatakayofanyika hiyo kesho Tarehe 20/11/2015 yamezidi kupamba moto katika uwanja wa michezo wa chuo hicho kama yanavyoonekana katika picha.

Picha ya jukwaa kuu kama inavyoonekana (Picha na Elirinyo)

Moja kati ya mahema kwa ajili ya wageni (Picha na Elirinyo)

Mmoja kati ya mafundi mitambo akifanya Mic Test pamoja na Sound Test katika jukwaa kuu (Picha na Elirinyo)

Mmoja kati ya mafundi mitambo akifanya Mic Test pamoja na Sound Test katika jukwaa kuu (Picha na Elirinyo)

Sehemu ya viti na vibao vitakavyotumika kuongozea watu kama inavyoonekana (Picha na Elirinyo)

Sehemu ya viti na vibao vitakavyotumika kuongozea watu kama inavyoonekana (Picha na Elirinyo)
Akizungumza nasi Mkuu wa Usajili (Registrar) chuoni Bw. Nimrod Foya alisema kuwa idadi kamili ya wahitimu ni Wanafunzi 1546 wanaohitimu katika Ngazi mbalimbali za Elimu chuoni hapo ikiwa ni pamoja na ngazi ya Astashahada (Certificate), Stashahada (Diploma), Shahada (Degree) na Shahada za Uzamili (Post Graduate).
 Mahafali ya 17 ya chuo cha Uhasibu Arusha.
 
Nakusihi ukumbuke kui-share  ili na wengine wengi waipate habari hii.

@RINYO'S

No comments:

Post a Comment