Na Reporter wetu:-
Kuelekea katika Mahafali ya 17 ya Chuo cha Uhasibu Arusha maandalizi bado yanakwenda vizuri na reporter wetu akiwa katika eneo la Chuo aliweza kushuhudia yafuatayo.
![]() |
| Lango kuu la kuingilia Chuo cha Uhasibu kama linavyoonekana (Picha na Elirinyo) |
Mahafali haya hayatawanufaisha tu wahitimu bali pia yatawanufaisha Wafanyabiashara wadogo (wamachinga) amabo wamejitokeza kuuza bidhaa zao kama Mataji, kadi, fremu za picha, ribbon na mabango yenye maneno ya kupongeza wahitimu.
![]() |
| Wajasiriamali wadogo wadogo (Wamachinga) wakiwa tayari wametia kambi nje ya eneo la Chuo ili kujipatia riziki (Picha na Elirinyo) |
![]() |
| Wajasiriamali wadogo wadogo (Wamachinga) wakiwa tayari wametia kambi nje ya eneo la Chuo ili kujipatia riziki (Picha na Elirinyo) |
![]() | |
|
![]() | |
|
![]() |
| Neno IAA katika lango kuu la kuingilia Chuoni kwa muundo sanifu wa maua (Picha na Elirinyo) |
![]() |
| Reporter wetu katika viwanja vya chuo cha Uhasibu (Picha na Elirinyo) |
![]() |
Jukwaa kuu kama linavyoonekana kwa karibu (Picha na Elirinyo) |
![]() | ||
| Reporter wetu akiwa karibu na jukwaa kuu (Picha na Elirinyo) |
@RINYO'S









No comments:
Post a Comment