Saturday, 7 May 2016

SOKA

MWANANDINGA WA CAMEROON APOTEZA MAISHA UWANJANI...

Baada ya kupita kwa takribani miaka 13 tangu mwanasoka mwingine nguli wa Cameroon apoteze maisha akiwa uwanjani Mark Vivian Foe usiku wa kuamkia leo yani usiku wa tarehe 06/05/2016 ulikua ni usiku mwingine wa majonzi kwa wapenzi wa soka wa Cameroon na hii ni baada ya mchezaji wao wa kimataifa anayekipiga katika klabu ya Dianamo Bucarest kupoteza maisha akiwa uwanjani.